Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

KATIKA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA SABASABA WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KUTEMBELEA BANDA LA TIC*

KATIKA KUSHEREHEKEA SIKUKUU YA SABASABA WANANCHI WAJITOKEZA KWA WINGI KUTEMBELEA BANDA LA TIC Katika kuadhimisha sikukuu ya Sabasaba wananchi wengi wamejitokeza kutembelea banda la Kituo cha Uwekezaji Tanzania (TIC) na kupatiwa elimu jinsi ya kuwa Wawekezaji leo tarehe 7 Julai, 2021. Wananchi hao wamefurahishwa sana naelimu waliyoipata kwani wamejua sheria na taratibu za kuwa Wawekezaji, hata hivyo wameahidi kuwa mabarozi wazuri kwa wengine kuhusiana na suala la Uwekezaji Nchini. Sherehe za Sabasaba zimefanyika tarehe 7 Julai, 2021 Wananchi wengi wameonekana kufika katika Viwanja vya maonesho ya 45 ya Kimataifa ya Mwalimu Julius Nyerere (Sabasaba) na kutembelea mabanda mbalimbali likiwemo banda la TIC

Post a Comment

0 Comments