Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts

Mkurugenzi Mtendaji wa TIC Bw. Geoffrey Mwambe afanya kikao na Wafanyakazi, awataka kufanya kazi kwa bidii.


Na Latiffah Kigoda-Dar Es Salaam.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe amefanya kikao na Watumishi wa kituo hicho makao makuu Jijini Dar Es Salaam ikiwa ni mpango mkakati wa kuimarisha huduma kwa wawekezaji kituoni hapo.


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe akizungumza na Wafanyakazi wa Kituo hicho Jijini Dar Es Salaam Novemba 15,2019


Mkurugenzi huyo pia amewapongeza kwa zawadi wafanyakazi hodari watatu akiwepo Jackon Ishengoma, Faines Sipemba na Mustapha Juma na kuwataka wafanyakazi wengine kuongeza bidii katika majukumu yao.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe akiwa katika picha ya pamoja na Wafanyakazi waliopata zawadi kwa uhodari wa kazi Jijini Dar Es Salaam Novemba 15,2019


Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe akimkabidhi zawadi ya ufanyakazi bora Bi Faines Sipemba Mfanyakazi wa kituo hicho.

Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe akimkabidhi zawadi ya ufanyakazi bora Bw. Mustapha Juma Mfanyakazi wa kituo hicho.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji Tanzania TIC Bw. Geoffrey Mwambe akimkabidhi zawadi ya ufanyakazi bora Bw. Jackon Ishengoma Mfanyakazi wa kituo hicho.

Post a Comment

0 Comments