Header Ads Widget

Ticker

6/recent/ticker-posts


Mkurugenzi Mtendaji wa TIC, Dkt. Maduhu Kazi (wa pili kushoto) na Balozi wa Tanzania nchini Misri, Mhe. Emmanuel J. Nchimbi (wakwanza kulia) wakiwa katika picha ya pamoja na wawekezaji kutoka nchini Misri walipotembelea ofisi za Makao Makuu za TIC Jijini Dar es Salaam leo ili kujua fursa za uwekezaji hususani katika eneo la kilimo na ufugaji. (wakwanza kushoto) ni Makamu Mwenyekiti wa HG Group, Mohamed Hegazy na (wapili kulia) ni Mohamed Ab Elatif Hegazy.

 

Post a Comment

0 Comments